
Barabara ya Msumi nayo inangoja maagizo?
MOJA ya majukumu ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini(Tarura) ni ujenzi na matengenezo ya mtandao wa barabara za vijijini na mijini ambayo hapo awali yalikuwa yakitekelezwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa. Baada ya Tarura kupewa majukumu hayo rasmi mwaka 2017,ambayo mengine ni usimamizi, ujenzi, na matengenezo
22 Jan 20210