Siasa of Thursday, 29 October 2020
Chanzo: Millard Ayo
Denis Lazaro wa CCM ameshinda kiti cha ubunge akipata kura 31,411 (62.7%) dhidi ya Joseph Haule wa CHADEMA. Pia kwa mujibu wa msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo, CCM imeshinda udiwani katika kata zote 40.
LIVE: SUGU ASHINDWA UBUNGE MBEYA MJINI, TULIA AIBUKA KIDEDEA